Skip to Content
The Muslims Internet Directory
Featured Service
Home
|
Advertise
|
FAQ
|
Login/Register |
Directory
Quran
Hadith
Islamic Library
Prayer Times
Discover Islam
Islamic Gallery
Calendar
New
Classifieds
Services
Webmasters
Dictionary
Downloads
Kids & Games
Quran Navigation
Search
Translations
Transliteration
Index
Chapter Info
English Search
Articles and Books
Audio
Memorization
Links
Downloads
On Your Site
FAQ
Muslims Internet Directory
The Quran / English
The Hadith
2Muslims.com
Our Network
Islamic Library & Articles
The Internet
Islamic Classifieds
WebRing Members Sites
Advance
-
Live Search
-
Quran
-
Hadith
-
Search This Site
-
The Network
-
Classifieds
-
WebRing
-
The Internet
-
Help!
Featured Site
Feature Your Site Now
2Muslims Services
Islamic IE Toolbar
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Forum
Donate
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls
Free E-mail Account
Zakat Calculator
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
Buy The Islamic CD
God's Attributes
How To Pray?
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran:
Quran Translations:
Swahili:
SURAT AR-RAA'D :
Search the Quran in any of the drop down menu languages:
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
More search options
SURAT AR-RAA'D
[13.1] Alif Lam Mym Ra. (A.L.M.R.) Hizi ni Ishara zaKitabu. Na uliyo teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezini Haki. Lakini wengi wa watu hawaamini.
[13.2] Mwenyezi Mungu aliye ziinua mbingu bila ya nguzomnazo ziona, ametawala kwenye Ufalme wake, na amefanyajua na mwezi yamt'ii, kila kimoja kinakwenda kwa kiwango maalumu. Anayapanga mambo, na anazipambanuaIshara ili mpate kuwa na yakini kukutana na Mola wenuMlezi.
[13.3] Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humomilima na mito. Na katika kila matunda akafanya dumena jike. Huufunika usiku juu ya mchana. Hakika katikahaya zimo Ishara kwa watu wanao fikiri.
[13.4] Na katika ardhi vimo vipande vilivyo karibiana, nazipo bustani za mizabibu, na mimea mingine, na mitendeyenye kuchipua kwenye shina moja na isio chipua kwenye shina moja, nayo inatiliwa maji yale yale. Natunaifanya baadhi yao bora kuliko mengine katika kula.Hakika katika hayo zimo ishara kwa watu wanao tia mambo akilini.
[13.5] Na kama ukistaajabu, basi cha ajabu zaidi ni huousemi wao: Ati tukisha kuwa mchanga kweli tutakuwakatika umbo jipya? Hao ndio walio mkufuru Mola waoMlezi. Na hao ndio watao kuwa na makongwa shingonimwao, na hao ndio watu wa Motoni. Humo watadumu.
[13.6] Na wanakuhimiza ulete maovu kabla ya mema, hali yakuwa zimekwisha pita kabla yao adhabu za kupigiwamfano. Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye msamaha kwawatu juu ya udhalimu wao. Na hakika Mola wako Mlezi niMkali wa kuadhibu.
[13.7] Na wale walio kufuru husema: Mbona hakuteremshiwamuujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Hakika wewe niMwonyaji, na kila kaumu ina wa kuwaongoa.
[13.8] Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke,na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila kitukwake ni kwa kipimo.
[13.9] Yeye ndiye Mwenye kujua yanayo onekana na yasioonekana; Mkuu Aliye tukuka.
[13.10] Ni sawa anaye ficha kauli yake kati yenu na anayeidhihirisha, na anaye jibanza usiku na anaye tembeajahara mchana.
[13.11] Kila mtu analo kundi la malaika mbele yake nanyuma yake linamlinda kwa amri ya Mwenyezi Mungu.Hakika Mwenyezi Mungu habadili yaliyoko kwa watu mpakawabadili wao yaliyomo naf- sini mwao. Na MwenyeziMungu anapo watakia watu adhabu hakuna cha kuzuia walahawana mlinzi yeyote badala yake.
[13.12] Yeye ndiye anaye kuonyesheni umeme kwa khofu natamaa, na huyaleta mawingu mazito.
[13.13] Na radi inamtakasa Mwenyezi Mungu kwa kumhimidi,na Malaika pia, kwa kumkhofu. Naye hupeleka mapigo yaradi yakampata amtakaye. Nao wanabishana juu ya Mwenyezi Mungu. Na Yeye ni Mwenye adhabu kali!
[13.14] Wa kuombwa kweli ni Yeye tu. Na hao wanao waombabadala yake hawawajibu chochote; bali ni kama mwenyekunyoosha viganja vyake kwenye maji ili yafike kinywani mwake, lakini hayafiki. Na maombi ya makafirihayako ila katika upotovu.
[13.15] Na viliomo mbinguni na katika ardhi vinamsujudiaMwenyezi Mungu tu vikitaka visitake. Na pia vivulivyao asubuhi na jioni.
[13.16] Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu na ardhi? Sema:Mwenyezi Mungu. Sema: Basi je, mnawafanya wenginewebadala yake kuwa ni walinzi, nao hawajifai wenyewe kwa jema wala baya? Sema: Hebu kipofu na mwenye kuonahuwa sawa? Au hebu huwa sawa giza na mwangaza? Auwamemfanyia Mwenyezi Mungu washirika walio umba kama alivyo umba Yeye, na viumbe hivyo vikawadanganyikia?Sema: Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu. NaYeye ni Mmoja Mwenye kushinda!
[13.17] Ameteremsha maji kutoka mbinguni. Na mabondeyakamiminika maji kwa kadiri yake. Na mafurikoyakachukua mapovu yaliyo kusanyika juu yake. Nakutokana na wanavyo yayusha katika moto kwa kutakamapambo au vyombo hutokea povu vile vile. Namna hivyo Mwenyezi Mungu ndivyo anavyo piga mifanoya Haki na baat'ili. Basi lile povu linapita kamatakataka tu basi. Ama kinacho wafaa watu hubakiakwenye ardhi. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo pigamifano.
[13.18] Walio muitikia Mola wao Mlezi watapata wema. Nawasio muitikia, hata wangeli kuwa navyo vyote viliomokatika ardhi na mfano wa hivyo, bila ya shaka wangeli vitoa kujikombolea! Hao watapata hisabu mbaya kabisa,na makao yao ni Jahannamu. Na hapo ni pahala pabayamno!
[13.19] Je! Anaye jua ya kwamba yaliyo teremshwa kwakokutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki ni sawa na aliyekipofu? Wenye akili ndio wanao zingatia,
[13.20] Wale ambao wanatimiza ahadi ya Mwenyezi Mungu,wala hawavunji maagano.
[13.21] Na wale ambao huyaunga aliyo amrisha MwenyeziMungu yaungwe, na wanaikhofu hisabu mbaya.
[13.22] Na ambao husubiri kwa kutaka radhi ya Mola waoMlezi, na wakashika Sala, na wakatoa, kwa siri na kwauwazi, katika tulivyo wapa; na wakayaondoa maovu kwa wema. Hao ndio watakao pata malipo ya Nyumba yaAkhera.
[13.23] Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao nawalio wema miongoni mwa baba zao, na wake zao, navizazi vyao. Na Malaika wanawaingilia katika kilamlango.
[13.24](Wakiwaambia) Assalamu Alaikum! Amani iwe juu yenu,kwa sababu ya mlivyo subiri! Basi ni mema mno malipoya Nyumba ya Akhera.
[13.25] Na wale wanao vunja ahadi ya Mwenyezi Mungu baadaya kuzifunga, na wanakata aliyo amrisha Mwenyezi Munguyaungwe, na wanafanya fisadi katika nchi: hao ndio watakao pata laana, na watapata Nyumba mbaya.
[13.26] Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye, nahumkunjia kwa kipimo. Na wamefurahia maisha ya dunia.Na uhai wa dunia kwa kulingana na Akhera si kitu ila ni starehe ndogo.
[13.27] Na wanasema walio kufuru: Kwa nini hakuteremshiwamuujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi. Sema: HakikaMwenyezi Mungu humwacha kupotea amtakaye, na humwongoaanaye elekea kwake,
[13.28] Wale walio amini na zikatua nyoyo zao kwakumkumbuka Mwenyezi Mungu. Hakika kwa kumkumbukaMwenyezi Mungu ndio nyoyo hutua!
[13.29] Wale walio amini na wakatenda mema watakuwa naraha na marejeo mazuri.
[13.30] Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambaowamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomeetunayo kufunulia, na wao wanamkufuru Rahmani, Mwingiwa Rehema! Sema: Yeye ndiye Mola wangu Mlezi. Hapanamungu isipo kuwa Yeye. Juu yake nimetegemea, na kwakendio marejeo yangu!
[13.31] Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayoendeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewawafu, (basi ingeli kuwa Qur'ani hii). Bali mambo yoteni ya Mwenyezi Mungu. Je, hawajajua walio amini kwambalau kuwa Mwenyezi Mungu ange penda bila ya shakaangeli waongoa watu wote? Wala walio kufuru hawaachi kusibiwa na balaa kwa waliyo yatenda, au ikawateremkiakaribu na nyumbani kwao, mpaka ifike ahadi ya MwenyeziMungu. Hakika Mwenyezi Mungu havunji miadi yake.
[13.32] Na hakika walifanyiwa kejeli Mitume walio kuwakabla yako. Na nikawapururia wale walio kufuru, kishanikawashika! Basi ilikuwaje adhabu yangu!
[13.33] Je! Anaye isimamia kila nafsi kwa yale iliyoyachuma...? Na wamemfanyia Mwenyezi Mungu kuwa nawashirika! Sema watajeni. Au ndio mnampa khabari yayale asiyo yajua katika ardhi; au ni maneno matupu?Bali walio kufuru wamepambiwa vitimbi vyao nawamezuiliwa njia. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwachaapotee basi hana wa kumwongoa.
[13.34] Wanayo adhabu katika maisha ya dunia, na adhabu yaAkhera hapana shaka ina mashaka zaidi. Na walahawatakuwa na wa kuwalinda na Mwenyezi Mungu.
[13.35] Mfano wa Bustani waliyo ahidiwa wachamngu, katiyake inapita mito, matunda yake ni ya daima, na piakivuli chake. Huu ndio mwisho wa wale walio walio jilinda. Na mwisho wa makafiri ni Moto.
[13.36] Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa.Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi yahaya. Sema: Nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, na wala nisimshirikishe. Kuendea kwake Yeye ndiyoninaita, na kwake Yeye ndio marejeo yangu.
[13.37] Na ndio kama hivi tumeiteremsha Qur'ani kuwa nihukumu kwa lugha ya Kiarabu. Na ukifuata matamanio yaobaada ya kukujia ilimu hii, hutakuwa na rafiki wala mlinzi mbele ya Mwenyezi Mungu.
[13.38] Na hakika Sisi tulikwisha watuma Mitume kablayako, na tukajaalia wawe na wake na dhuriya. Na haiwikwa Mtume kuleta miujiza isipo kuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Kila kipindi kina hukumu yake.
[13.39] Mwenyezi Mungu hufuta na huthibitisha ayatakayo. Naasili ya hukumu zote iko kwake.
[13.40] Na ikiwa tukikuonyesha baadhi ya tuliyo waahidi autukakufisha kabla yake, juu yako wewe ni kufikishaujumbe na juu yetu ni hisabu.
[13.41] Je! Hawakuona kwamba tunaifikia ardhi tukiipunguzanchani mwake? Na Mwenyezi Mungu huhukumu, na hapana wakupinga hukumu yake, naye ni Mwepesi wa kuhisabu.
[13.42] Na walipanga walio kuwa kabla yao, lakini MwenyeziMungu ndiye Mwenye mipango yote. Yeye anajua inayochuma kila nafsi. Na makafiri watajua ni ya nani nyumba ya mwisho Akhera!
[13.43] Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema:Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu nanyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate
Bookmark Us
Support Us
GuestBook
Link To Us
Newsletter
Recommend
Set as Home
Terms Of Use
What's New
Other Sites:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
This Page Was Last Updated on
Copyright 2003-2008
Islamic Education & Services Institute