Skip to Content
The Muslims Internet Directory
Featured Service
Home
|
Advertise
|
FAQ
|
Login/Register |
Directory
Quran
Hadith
Islamic Library
Prayer Times
Discover Islam
Islamic Gallery
Calendar
New
Classifieds
Services
Webmasters
Dictionary
Downloads
Kids & Games
Quran Navigation
Search
Translations
Transliteration
Index
Chapter Info
English Search
Articles and Books
Audio
Memorization
Links
Downloads
On Your Site
FAQ
Muslims Internet Directory
The Quran / English
The Hadith
2Muslims.com
Our Network
Islamic Library & Articles
The Internet
Islamic Classifieds
WebRing Members Sites
Advance
-
Live Search
-
Quran
-
Hadith
-
Search This Site
-
The Network
-
Classifieds
-
WebRing
-
The Internet
-
Help!
Featured Site
Feature Your Site Now
2Muslims Services
Islamic IE Toolbar
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Forum
Donate
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls
Free E-mail Account
Zakat Calculator
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
Buy The Islamic CD
God's Attributes
How To Pray?
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran:
Quran Translations:
Swahili:
SURAT LUQMAN :
Search the Quran in any of the drop down menu languages:
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
More search options
SURAT LUQMAN
[31.1] Alif Lam Mim (A.L.M.)
[31.2] Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.
[31.3] Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
[31.4] Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakinina Akhera.
[31.5] Hao ndio walio na uwongofu utokao kwa Mola waoMlezi, na hao ndio wenye kufanikiwa.
[31.6] Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno yaupuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungupasipo kujua, na wanaichukulia ni maskhara. Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha.
[31.7] Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipamgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia, kamakwamba masikioni mwake mna uziwi. Basi mbashirie kuwa atapata adhabu chungu.
[31.8] Hakika walio amini na wakatenda mema watakuwa nazoBustani za neema.
[31.9] Watadumu humo - ni ahadi ya Mwenyezi Mungu yakweli. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
[31.10] Ameziumba mbingu bila ya nguzo mnazo ziona; naameweka katika ardhi milima ili ardhi isikuyumbisheni;na ametawanya humo kila namna ya wanyama; na tumeteremsha maji kutoka mbinguni, na tukaoteshakatika ardhi mimea mizuri ya kila namna.
[31.11] Huu ni uumbaji wa Mwenyezi Mungu. Basi nionyesheniwameumba nini hao wasio kuwa Yeye! Lakini madhaalimuwamo katika upotovu uliyo dhaahiri.
[31.12] Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: MshukuruMwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakikaanashukuru kwa manufaa ya nafsi yake. Na aliye kufuru,basi Mwenyezi Mungu ni Mkwasi, Msifiwa.
[31.13] Na Luqman alipo mwambia mwanawe kwa kumpamawaidha: Ewe mwanangu! Usimshirikishe Mwenyezi Mungu.Kwani hakika ushirikina bila ya shaka ni dhulma iliyo kubwa.
[31.14] Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mamayake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu,na kumwachisha ziwa baada ya miaka miwili. (Tumemuusia): Nishukuru Mimi na wazazi wako. Ni kwanguMimi ndiyo marudio.
[31.15] Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayohuna ilimu nayo, basi usiwat'ii. Lakini kaa nao kwawema duniani, nawe ishike njia ya anaye elekea kwangu. Kisha marejeo yenu ni kwangu Mimi, na Miminitakuambieni mliyo kuwa mkiyatenda.
[31.16] Ewe mwanangu! Kikiwapo kitu cha uzito wa chembe yakhardali kikawa ndani ya jabali au ndani ya mbingu aundani ya ardhi, basi Mwenyezi Mungu atakileta. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa yaliyo fichika,Mwenye khabari za yote.
[31.17] Ewe mwanangu! Shika Sala, na amrisha mema, nakataza maovu, na subiri kwa yanayo kupata. Hayo nikatika mambo ya kuazimiwa..
[31.18] Wala usiwabeuwe watu, wala usitembee katika nchikwa maringo. Hakika Mwenyezi Mungu hampendi kila anayejivuna na kujifakhirisha.
[31.19] Na ushike mwendo wa katikati, na teremsha sautiyako. Hakika katika sauti mbaya zote bila ya shakailiyo zidi ni sauti ya punda.
[31.20] Kwani hamwoni ya kwamba Mwenyezi Mungu amevifanyavikutumikieni viliomo mbinguni na kwenye ardhi, naakakujalizieni neema zake, za dhaahiri na za siri? Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu yaMwenyezi Mungu pasipo ilimu, wala uwongofu, walaKitabu chenye nuru.
[31.21] Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremshaMwenyezi Mungu, husema: Bali tunafuata tuliyo wakutanayo baba zetu. Je! Ijapo kuwa Shet'ani anawaitakwenye adhabu ya Moto uwakao?
[31.22] Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Mwenyezi Mungu,naye akawa anafanya wema, basi huyo hakika amekwishakamata fundo lilio madhubuti. Na mwisho wa mambo yote ni kwa Mwenyezi Mungu.
[31.23] Na anaye kufuru, isikuhuzunishe kufuru yake. Kwetundio marudio yao, na hapo tutawaambia waliyo yatenda.Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa yaliyomo vifuani.
[31.24] Tunawastarehesha kwa uchache, kisha tutawasukumakwenye adhabu ngumu.
[31.25] Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi?Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe sema:Alhamdulillahi! Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Lakini wengi wao hawajui.
[31.26] Ni vya Mwenyezi Mungu vyote viliomo mbinguni nakatika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mkwasi,Mwenye kusifiwa.
[31.27] Na lau kuwa miti yote iliyomo duniani ikawa nikalamu, na bahari (ikawa wino), na ikaongezewa juuyake bahari nyengine saba, maneno ya Mwenyezi Mungu yasingeli kwisha. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenyenguvu, Mwenye hikima.
[31.28] Hakukuwa kuumbwa kwenu, wala kufufuliwa kwenu ilani kama nafsi moja tu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenyekusikia Mwenye kuona.
[31.29] Kwani huoni kwamba Mwenyezi Mungu huuingiza usikukatika mchana, na huuingiza mchana katika usiku, naamedhalilisha jua na mwezi? Vyote hivyo vinakwenda mpaka wakati ulio wekwa. Na Mwenyezi Munguanazo khabari za mnayo yatenda.
[31.30] Hivi ni kwa sababu hakika Mwenyezi Mungu ndiye wakweli, na hakika wanacho kiomba ni cha uwongo. Nakwamba hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mtukufu na ndiye Mkubwa.
[31.31] Kwani huoni kwamba marikebu hupita baharinizikichukua neema za Mwenyezi Mungu, ili kukuonyeshenibaadhi ya Ishara zake? Hakika katika haya zipo Ishara kwa kila mwenye kusubiri, mwenye kushukuru.
[31.32] Na wimbi linapo wafunika kama wingu, wao humwombaMwenyezi Mungu kwa kumsafia dini. Lakini anapo waokoawakafika nchi kavu, wapo baadhi yao huenda mwendo wa sawa. Wala hazikanushi Ishara zetu ila aliyekhaini kafiri mkubwa.
[31.33] Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi, na iogopenisiku ambayo mzazi hatamfaa mwana, wala mwana hatamfaamzazi kwa lolote. Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia, walaasikudanganyeni na Mwenyezi Mungu mdanganyifu.
[31.34] Hakika kuijua Saa (ya Kiyama) kuko kwa MwenyeziMungu. Na Yeye ndiye anaye iteremsha mvua. Na anavijuaviliomo ndani ya matumbo ya uzazi. Na haijui nafsi yoyote itachuma nini kesho. Wala nafsi yoyote haijuiitafia nchi gani. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenyekujua, Mwenye khabari.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate
Bookmark Us
Support Us
GuestBook
Link To Us
Newsletter
Recommend
Set as Home
Terms Of Use
What's New
Other Sites:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
This Page Was Last Updated on
Copyright 2003-2008
Islamic Education & Services Institute