Skip to Content
The Muslims Internet Directory
Featured Service
Home
|
Advertise
|
FAQ
|
Login/Register |
Directory
Quran
Hadith
Islamic Library
Prayer Times
Discover Islam
Islamic Gallery
Calendar
New
Classifieds
Services
Webmasters
Dictionary
Downloads
Kids & Games
Quran Navigation
Search
Translations
Transliteration
Index
Chapter Info
English Search
Articles and Books
Audio
Memorization
Links
Downloads
On Your Site
FAQ
Muslims Internet Directory
The Quran / English
The Hadith
2Muslims.com
Our Network
Islamic Library & Articles
The Internet
Islamic Classifieds
WebRing Members Sites
Advance
-
Live Search
-
Quran
-
Hadith
-
Search This Site
-
The Network
-
Classifieds
-
WebRing
-
The Internet
-
Help!
Featured Site
Feature Your Site Now
2Muslims Services
Islamic IE Toolbar
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Forum
Donate
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls
Free E-mail Account
Zakat Calculator
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
Buy The Islamic CD
God's Attributes
How To Pray?
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran:
Quran Translations:
Swahili:
SURAT SABAA :
Search the Quran in any of the drop down menu languages:
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
More search options
SURAT SABAA
[34.1] Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, ambaye nivyake vyote viliomo mbnguni na katika ardhi. Na sifani zake Yeye katika Akhera. Naye ni Mwenye hikima, Mwenye khabari.
[34.2] Anajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo tokahumo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayopanda huko. Na Yeye ni Mwenye kurehemu, Mwenye kusamehe.
[34.3] Na walisema walio kufuru: Haitatufikia Saa (yaKiyama). Sema: Kwani? Hapana shaka itakufikieni, naapakwa haki ya Mola wangu Mlezi, Mwenye kujua ya ghaibu! Hapana kinacho fichikana kwake hata chenye uzito wachembe tu, si katika mbingu wala katika ardhi, walakilicho kidogo kuliko hivyo, wala kikubwa zaidi; ila vyote hivyo vimo katika Kitabu chake chenyekubainisha.
[34.4] Ili awalipe walio amini na wakatenda mema. Haowatapata msamaha na riziki ya ukarimu.
[34.5] Na wale walio jitahidi kuzipinga Ishara zetuwakaona watashinda, hao watapata adhabu mbaya yenyeuchungu.
[34.6] Na walio pewa ilimu wanaona ya kuwa ulio teremshiwakutoka kwa Mola wako Mlezi ni haki, nayo huongoakwendea njia ya Mwenye nguvu, Mwenye kusifiwa.
[34.7] Na walio kufuru walisema: Je! Tukujuulisheni mtuanaye kuambieni kwamba mtakapo chambuliwa mapandemapande mtakuwa katika umbo jipya?
[34.8] Ama amemzulia Mwenyezi Mungu uwongo, au ana wazimu.Bali wasio amini Akhera wamo adhabuni na upotofu wambali kabisa.
[34.9] Kwani hawaoni yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yaoya mbingu na ardhi? Tungeli penda tungeli wadidimizandani ya ardhi, au tungeli wateremshia juu yao vipande vya mbingu. Hakika katika haya zipo Ishara kwakila mja aliye tubia.
[34.10] Na tulimpa Daudi fadhila kutoka kwetu, (tukasema):Enyi milima! Karirini kumtakasa Mwenyezi Mungu pamojanaye! Na ndege pia. Na tukamlainishia chuma.
[34.11] (Tukamwambia:) Tengeneza nguo za chuma pana, nakadiria sawa katika kuunganisha. Na tendeni mema.Hakika Mimi nayaona vyema mnayo yatenda.
[34.12] Na Suleiman tuliufanya upepo umtumikie. Safariyake ya asubuhi ni mwendo wa mwezi mmoja, na safariyake ya jioni ni mwendo wa mwezi mmoja. Natukamyayushia chemchem ya shaba. Na katika majiniwalikuwako walio kuwa wakifanya kazi mbele yake kwa idhini ya Mola wake Mlezi. Na kila anayejitenga na amri yetu katika wao, tunamwonjesha adhabuya Moto unao waka.
[34.13] Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, namasanamu, na madeste makubwa kama mahodhi, namasufuria makubwa yasiyo ondolewa mahala pake. Enyi watu wa Daudi! Fanyeni kazi kwa kushukuru. Ni wachachekatika waja wangu wanao shukuru.
[34.14] Na tulipo mhukumia kufa, hapana aliye wajuulishakufa kwake ila mnyama wa ardhi aliye kula fimbo yake.Na alipo anguka majini walitambua lau kuwa wangeli jua ya ghaibu wasingeli kaa katika adhabu hiyo yakufedhehesha.
[34.15] Hakika ilikuwapo Ishara kwa (watu wa nchi ya)Sabaa katika maskani yao - bustani mbili, kulia nakushoto. Kuleni katika riziki ya Mwenyezi Mungu, na mumshukuru. Mji mzuri na Mola Mlezi aliye Msamehevu.
[34.16] Lakini wakaacha. Tukawapelekea mafuriko makubwa,na tukawabadilishia badala ya bustani zao hizo kwabustani nyengine zenye matunda makali machungu, na mivinje, na kidogo katika miti ya kunazi.
[34.17] Hayo tuliwalipa kwa sababu ya walivyo kufuru. Nasikwani tunamuadhibu isipo kuwa anaye kufuru?
[34.18] Na baina yao na miji mingine tuliyo ibarikituliweka miji iliyo dhaahiri, na tukaweka humo vituovya safari. Tukawaambia: Nendeni humo usiku na mchanakwa amani.
[34.19] Lakini wakasema: Mola wetu Mlezi! Weka mwendomrefu baina ya safari zetu. Na wakazidhulumu nafsizao. Basi tukawafanya ni masimulizi tu, natukawatawanya tawanya. Hakika katika hayo bila yashaka zimo Ishara kwa kila mwenye kusubiri sana na akashukuru.
[34.20] Na bila ya shaka Iblisi alihakikisha ile dhanayake juu yao. Nao walimfuata, isipo kuwa kundi laWaumini.
[34.21] Na yeye hakuwa na mamlaka yoyote juu yao, ila kwasababu ya kuwajaribu tujue nani mwenye kuamini Akhera,na nani anaye tilia shaka. Na Mola wako Mlezi ni Mwenye kuhifadhi kila kitu.
[34.22] Sema: Waite mnao wadaia kuwa ni badala ya MwenyeziMungu. Hawamiliki hata uzito wa chembe hichi katikambingu wala ardhi. Wala hawana ushirika wowote humo. Wala Yeye hana msaidizi miongoni mwao.
[34.23] Wala uombezi mbele yake hautafaa kitu, isipo kuwakwa aliye mpa idhini. Hata itapo ondolewa khofu kwenyenyoyo zao watasema: Mola wenu Mlezi kasema nini? Watasema: Yaliyo kweli! Na Yeye ndiye Aliye juu,Mkubwa.
[34.24] Sema: Ni nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni nakwenye ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu! Na hakika sisi aunyinyi bila ya shaka tuko kwenye uwongofu au upotofu ulio wazi.
[34.25] Sema: Nyinyi hamtaulizwa kwa makosa tuliyoyafanya, wala sisi hatutaulizwa kwa mnayo yatendanyinyi.
[34.26] Sema: Mola wetu Mlezi atatukusanya, kishaatatuhukumu kwa haki; na Yeye ndiye Hakimu Mwenyekujua.
[34.27] Sema: Nionyesheni mlio waunganisha naye kuwawashirika. Hasha! Bali Yeye ndiye Mwenyezi MunguMwenye nguvu, Mwenye hikima.
[34.28] Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri,na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
[34.29] Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyimnasema kweli?
[34.30] Sema: Nyinyi mnayo miadi ya Siku ambayohamtaakhirika nayo kwa saa moja, wala hamtaitangulia.
[34.31] Na walisema walio kufuru: Hatutaiamini Qur'anihii, wala yaliyo kuwa kabla yake. Na ungeli waonamadhaalimu watapo simamishwa mbele ya Mola wao Mlezi, wakirudishiana maneno wao kwa wao! Wanyongewakiwaambia walio takabari: Lau kuwa si nyinyi, bilaya shaka tungeli kuwa Waumini sisi.
[34.32] Walio takabari watawaambia wanyonge: Kwani sisindio tulio kuzuieni na uwongofu baada ya kukujieni?Bali nyinyi wenyewe ni wakosefu.
[34.33] Na wanyonge wakawaambia walio takabari: Bali nivitimbi vyenu vya usiku na mchana, mlipo kuwamkituamrisha tumkufuru Mwenyezi Mungu, na tumfanyie washirika. Nao wataficha majuto watakapo iona adhabu.Na tutaweka makongwa shingoni mwao walio kufuru. Kwaniwanalipwa ila kwa waliyo kuwa wakiyatenda?
[34.34] Na hatukumtuma mwonyaji yeyote kwenye mji, ilawalisema walio jidekeza kwa starehe zao wa mji huo:Hakika sisi tunayakataa hayo mliyo tumwa nayo.
[34.35] Na wakasema: Sisi tuna mali mengi zaidi na watoto,wala sisi hatutaadhibiwa.
[34.36] Sema: Hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia rizikina humdhikisha amtakaye. Lakini watu wengi hawajui.
[34.37] Na si mali yenu wala watoto wenu watakaokukaribisheni kwetu muwe karibu, isipo kuwa aliyeamini na akatenda mema. Hao basi watapata malipomardufu kwa walio yafanya. Nao watakuwa salama katikamaghorofa.
[34.38] Na wanao jitahidi kuzipinga Ishara zetu, wakaonawatashinda, hao watahudhurishwa kwenye adhabu.
[34.39] Sema: Kwa hakika Mola wangu Mlezi humkunjuliariziki na humdhikisha amtakaye katika waja wake. Nachochote mtakacho kitoa Yeye atakilipa. Naye ni Mborawa wanao ruzuku.
[34.40] Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambiaMalaika: Je! Hawa walikuwa wakikuabuduni?
[34.41] Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzichetu si hao. Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini;wengi wao wakiwaamini hao.
[34.42] Hii leo hataweza yeyote kumletea nafuu walamadhara mwenzie. Na tutawaambia walio dhulumu: Onjeniadhabu ya Moto mlio kuwa mkiukanusha.
[34.43] Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi wanasema:Huyu si chochote ila ni mtu anaye taka kukuzuieni nawaliyo kuwa wakiabudu baba zenu. Na wakasema: Haya si chochote ila ni uwongo ulio zuliwa. Na walio kufuruwaliiambia Haki ilipo wajia: Haya si chochote ila niuchawi ulio dhaahiri.
[34.44] Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, walahatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.
[34.45] Na walikadhibisha walio kuwa kabla yao. Nahawakufikilia hata sehemu moja katika kumi ya tulivyowapa hao. Nao waliwakadhibisha Mitume wangu. Basi kuangamiza kwangu kulikuwa namna gani!
[34.46] Sema: Mimi nakunasihini kwa jambo moja tu - yakwamba msimame kwa ajili ya Mwenyezi Mungu,wawili-wawili na mmoja-mmoja; kisha mfikiri. Mwenzenuhuyu hana wazimu. Yeye si chochote ila ni Mwonyajikwenu kabla ya kufika adhabu kali.
[34.47] Sema: Ujira nilio kuombeni ni wenu nyinyi. Sinaujira ila kwa Mwenyezi Mungu. Na Yeye ni Shahidi juuya kila kitu.
[34.48] Sema: Hakika Mola wangu Mlezi anaondoa upotovu kwaHaki. Yeye ndiye Mwenye kujua vyema yaliyo ghaibu.
[34.49] Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, walahaurudi.
[34.50] Sema: Ikiwa mimi nimepotea, basi nimepotea kwakudhuru nafsi yangu mwenyewe. Na ikiwa nimeongoka,basi ni kwa sababu ya kunifunulia Mola wangu Mlezi.Hakika Yeye ni Mwenye kusikia, Aliye karibu.
[34.51] Na lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pakukimbilia! Na watakamatwa mahala pa karibu.
[34.52] Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapikutoka huko mahala mbali?
[34.53] Na hapo kabla yake waliikataa, na wakiyatupiliambali maneno ya ghaibu kutoka mahali mbali.
[34.54] Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo wanayoyatamani, kama walivyo fanyiwa wenzao zamani. Hakikahao walikuwa na shaka ya kutia wasiwasi.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate
Bookmark Us
Support Us
GuestBook
Link To Us
Newsletter
Recommend
Set as Home
Terms Of Use
What's New
Other Sites:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
This Page Was Last Updated on
Copyright 2003-2008
Islamic Education & Services Institute