Skip to Content
The Muslims Internet Directory
Featured Service
Home
|
Advertise
|
FAQ
|
Login/Register |
Directory
Quran
Hadith
Islamic Library
Prayer Times
Discover Islam
Islamic Gallery
Calendar
New
Classifieds
Services
Webmasters
Dictionary
Downloads
Kids & Games
Quran Navigation
Search
Translations
Transliteration
Index
Chapter Info
English Search
Articles and Books
Audio
Memorization
Links
Downloads
On Your Site
FAQ
Muslims Internet Directory
The Quran / English
The Hadith
2Muslims.com
Our Network
Islamic Library & Articles
The Internet
Islamic Classifieds
WebRing Members Sites
Advance
-
Live Search
-
Quran
-
Hadith
-
Search This Site
-
The Network
-
Classifieds
-
WebRing
-
The Internet
-
Help!
Featured Site
Feature Your Site Now
2Muslims Services
Islamic IE Toolbar
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Forum
Donate
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls
Free E-mail Account
Zakat Calculator
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
Buy The Islamic CD
God's Attributes
How To Pray?
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran:
Quran Translations:
Swahili:
SURAT FAAT'IR :
Search the Quran in any of the drop down menu languages:
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
More search options
SURAT FAAT'IR
[35.1] Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Muumba wambingu na ardhi, aliye wafanya Malaika kuwa wajumbewenye mbawa, mbili-mbili, na tatu- tatu, na nne-nne. Huzidisha katika kuumba apendavyo. HakikaMwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu.
[35.2] Rehema ambayo Mwenyezi Mungu anawafungulia watuhapana wa kuizuia. Na anayo izuia hapana wa kuipelekaisipo kuwa Yeye. Naye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
[35.3] Enyi watu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu juuyenu. Ati yupo muumba mwengine asiye kuwa MwenyeziMungu anaye kupeni riziki kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Hapana mungu ila Yeye tu. Basi wapi mnakogeuzwa?
[35.4] Na wakikukanusha, basi walikwisha kanushwa Mitumekabla yako. Na mambo yote yatarudishwa kwa MwenyeziMungu.
[35.5] Enyi watu! Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni yakweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia, walamdanganyifu asikudanganyeni juu ya Mwenyezi Mungu.
[35.6] Hakika Shet'ani ni adui yenu, basi mfanyeni kuwa niadui. Kwani yeye analiita kundi lake liwe katika watuwa Motoni.
[35.7] Walio kufuru watakuwa na adhabu kali; na walioamini na wakatenda mema watapata msamaha na ujiramkubwa.
[35.8] Je! Yule aliye pambiwa a'mali zake mbaya naakaziona ni njema - basi hakika Mwenyezi Munguhumwacha akapotea amtakaye, na humwongoa amtakaye.Basi nafsi yako isijihiliki kwa kuwasikitikia. HakikaMwenyezi Mungu anajua wanayo yafanya.
[35.9] Na Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma Pepo ziyatimuemawingu, nasi tukayafikisha kwenye nchi iliyo kufa,tukaifufua ardhi baada ya kufa kwake. Ndivyo kama hivyo kutakavyo kuwa kufufuliwa.
[35.10] Mwenye kutaka utukufu basi utukufu wote uko kwaMwenyezi Mungu. Kwake Yeye hupanda neno zuri, naa'mali njema Yeye huitukuza. Na wanao panga vitimbivya maovu watapata adhabu kali. Na vitimbi vya haovitaondokea patupu.
[35.11] Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo.Kisha kwa tone la manii. Kisha akakufanyeni mwanamumena mwanamke. Na mwanamke yeyote hachukui mimba, wala hazai, ila kwa ilimu yake. Na wala hapewi umrimwenye umri mrefu, wala hapunguziwi katika umri wake,ila yamo hayo katika Kitabu. Hakika hayo ni mepesi kwa Mwenyezi Mungu.
[35.12] Na bahari mbili haziwi sawa; haya ni matamu yenyeladha, mazuri kunywa. Na haya ni ya chumvi, machungu.Na kutokana na bahari zote mnakula nyama mpya (isiyo chacha). Na mnatoa mapambo mnayo yavaa. Naunaona ndani yake marikebu zinakata maji ili mtafutefadhila zake, na ili mpate kushukuru.
[35.13] Anauingiza usiku katika mchana, na anauingizamchana katika usiku. Na amelifanya jua na mwezikutumikia. Kila kimojapo kinakwenda kwa muda maalumu. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi. Ufalme niwake. Na hao mnao waomba badala yake hawamiliki hataugozi wa kokwa ya tende.
[35.14] Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikiahawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikinawenu. Na hapana atakaye kupa khabari vilivyo kama Yeye Mwenye khabari.
[35.15] Enyi watu! Nyinyi ndio wenye haja kwa MwenyeziMungu, na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kujitosha,Msifiwa.
[35.16] Akitaka atakuondoeni na alete viumbe vipya.
[35.17] Na hilo si gumu kwa Mwenyezi Mungu.
[35.18] Na mbebaji habebi mzigo wa mwingine. Na aliyetopewa na mzigo wake akiomba uchukuliwe hautachukuliwahata kidogo, na angamwomba jamaa yake. Hakika wewe unawaonya wale wanao mcha Mola wao Mlezi kwa ghaibu,na wanashika Sala. Na anaye jitakasa, basi anajitakasakwa ajili ya nafsi yake. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.
[35.19] Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.
[35.20] Wala giza na mwangaza.
[35.21] Wala kivuli na joto.
[35.22] Wala hawalingani walio hai na maiti. HakikaMwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe siwa kuwasikilizisha walio makaburini.
[35.23] Hukuwa wewe ila ni mwonyaji.
[35.24] Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa nimbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ilaulipata mwonyaji kati yao.
[35.25] Na wakikukanusha basi walikwisha wakanusha waliokuwa kabla yao. Mitume wao waliwajia kwa dalili waziwazi na kwa maandiko na Kitabu chenye nuru.
[35.26] Kisha nikawakamata walio kufuru. Basi kuchukiakwangu kulikuwaje?
[35.27] Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha majikutoka mbinguni, na kwayo tumeyatoa matunda yenyerangi mbali mbali. Na katika milima imo mistari myeupena myekundu yenye rangi mbali mbali, na myeusi sana.
[35.28] Na katika watu, na wanyama, na mifugo, pia rangizao zinakhitalifiana. Kwa hakika wanao mcha MwenyeziMungu miongoni mwa waja wake ni wanazuoni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe.
[35.29] Hakika wale wanao soma Kitabu cha Mwenyezi Mungu,na wakashika Sala, na wakatoa kwa siri na kwa dhaahirikatika tulivyo waruzuku, hao hutaraji biashara isiyo bwaga.
[35.30] Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, naawazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye niMwenye kusamehe Mwenye shukrani.
[35.31] Na hayo tuliyo kufunulia kutoka Kitabuni ni Kweliyenye kusadikisha yaliyo kuwa kabla yake. HakikaMwenyezi Mungu kwa waja wake ni Mwenye khabari naMwenye kuona.
[35.32] Kisha tumewarithisha Kitabu hao ambao tuliwateuwamiongoni mwa waja wetu. Kati yao yupo aliye jidhulumunafsi yake, na yupo wa katikati, na yupo aliye tangulia katika mambo ya kheri, kwa idhini ya MwenyeziMungu. Hiyo ndiyo fadhila kuu.
[35.33] Mabustani ya milele watayaingia. Huko watavikwavikuku vya dhahabu, na lulu, na nguo zao humo ni zahariri.
[35.34] Na watasema: Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni zaMwenyezi Mungu aliye tuondolea huzuni zote. HakikaMola wetu Mlezi bila ya shaka ni Mwenye kusamehe, Mwenye shukrani.
[35.35] Ambaye kwa fadhila yake ametuweka makao ya kukaadaima; humu haitugusi taabu wala humu hakutugusikuchoka.
[35.36] Na walio kufuru watakuwa na Moto wa Jahannamu,hawahukumiwi wakafa, wala hawatapunguziwa adhabu yake.Hivyo ndivyo tunavyo mlipa kila mwenye kuzidi ukafiri.
[35.37] Na humo watapiga makelele: Mola wetu Mlezi! Tutoetufanye mema sio yale tuliyo kuwa tukiyafanya. Kwanihatukukupeni umri wa kutosha kukumbuka mwenye kukumbuka? Na akakujieni Mwonyaji? Basi onjeni! Kwaniwalio dhulumu hawana wa kuwanusuru.
[35.38] Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri zambinguni na ardhi. Hakika Yeye ni Mjuzi wa yaliomovifuani.
[35.39] Yeye ndiye aliye kufanyeni manaibu katika ardhi.Na anaye kufuru, basi kufuru yake ni juu yake; nakufuru za makafiri haziwazidishii kwa Mola wao Mlezi ila kuchukiwa. Wala kufuru za makafiri haziwazidishiiila khasara.
[35.40] Sema: Mnawaona hawa miungu wenu wa kishirikinamnao waomba badala ya Mwenyezi Mungu! Nionyesheniwameumba sehemu gani katika ardhi? Au wana ushirika wowote katika mbingu? Au tumewapa Kitabu nao kwa hichowakawa na hoja zilizo wazi? Lakini madhaalimuhawaahidiani wao kwa wao ila udanganyifu tu.
[35.41] Hakika Mwenyezi Mungu ndiye anaye zuilia mbingu naardhi zisiondoke. Na zikiondoka hapana yeyote wakuzizuia isipo kuwa Yeye. Hakika Yeye ni Mpole Mwenye kusamehe.
[35.42] Na waliapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kuapa kwao,kwamba akiwajia mwonyaji bila ya shaka watakuwawaongofu zaidi kuliko taifa jingine lolote. Lakinialipo wajia mwonyaji hakuwazidishia ila kuikimbia hiyoHaki,
[35.43] Kwa kutakabari kwao katika nchi, na kufanyavitimbi vya uovu. Na vitimbi viovu havimsibu ilamwenyewe aliye vifanya. Hebu hawangojei yalio wasibuwatu wa kale? Basi hutapata mabadiliko katika mtindowa Mwenyezi Mungu. Wala hutapata mageuko katika mwendowa Mwenyezi Mungu.
[35.44] Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwamwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao walikuwa wananguvu zaidi kuliko wao. Na hapana kitu kinacho weza kumshinda Mwenyezi Mungu mbinguni wala katikaardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kujua, Mwenye uweza.
[35.45] Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wachukulia watukwa waliyo yachuma, basi asingeli muacha juu ya ardhihata mnyama mmoja. Lakini Yeye anawachukulia mpaka ufike muda maalumu. Basi ukifika muda wao basi hakikaMwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaona waja wake baraabara.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate
Bookmark Us
Support Us
GuestBook
Link To Us
Newsletter
Recommend
Set as Home
Terms Of Use
What's New
Other Sites:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
This Page Was Last Updated on
Copyright 2003-2008
Islamic Education & Services Institute