The Muslims Internet Directory
SURAT AL-H'AAQQAH
Home ↓
Directory ↓
Quran ↓
Hadith ↓
Library ↓
Prayer Times
Discover Islam ↓
Gallery ↓
Classifieds ↓
Webmasters ↓
Dictionary ↓
Downloads ↓
Kids/Games ↓
More... ↓
Login/Register
Muslims Directory
The Quran
The Hadith
2Muslims.com
The Internet
Our Network
Islamic Library
Islamic Classifieds
WebRing Sites
Help/FAQ
Help?
-
Live!
Advertisement
:
Featured Site
Feature Your Site Now
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
2Muslims Services
Free E-mail Account
Islamic IE Toolbar
Interactive Games
New
Free Guestbook
New
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls and Votting
Zakat Calculator
Send a Postcard
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
How To Pray?
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran Translations
:
Swahili
: SURAT AL-H'AAQQAH
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
Advance search options
[69.1] Tukio la haki.
[69.2] Nini hilo Tukio la haki?
[69.3] Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
[69.4] Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
[69.5] Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
[69.6] Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usiozuilika.
[69.7] Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizobila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba nimagongo ya mitende yalio wazi ndani.
[69.8] Basi je! Unamwona mmoja wao aliye baki?
[69.9] Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyopinduliwa chini juu, walileta khatia.
[69.10] Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Molaakawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
[69.11] Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katikasafina,
[69.12] Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu na kilasikio linalo sikia liyahifadhi.
[69.13] Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,
[69.14] Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwamvunjo mmoja,
[69.15] Siku hiyo ndio Tukio litatukia.
[69.16] Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwadhaifu kabisa.
[69.17] Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu; nawanane juu ya hawa watakuwa wamebeba Kiti cha Enzi chaMola wako Mlezi.
[69.18] Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siriyoyote yenu.
[69.19] Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wakewa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!
[69.20] Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
[69.21] Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
[69.22] Katika Bustani ya juu,
[69.23] Matunda yake yakaribu.
[69.24] Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu yamlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
[69.25] Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wakewa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewakitabu changu!
[69.26] Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
[69.27] Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimalizakabisa.
[69.28] Mali yangu hayakunifaa kitu.
[69.29] Madaraka yangu yamenipotea.
[69.30] (Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
[69.31] Kisha mtupeni Motoni!
[69.32] Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wadhiraa sabiini!
[69.33] Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi MunguMtukufu,
[69.34] Wala hahimizi kulisha masikini.
[69.35] Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
[69.36] Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
[69.37] Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
[69.38] Basi naapa kwa mnavyo viona,
[69.39] Na msivyo viona,
[69.40] Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbemwenye hishima.
[69.41] Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sanamnayo yaamini.
[69.42] Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayoyakumbuka.
[69.43] Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwenguwote.
[69.44] Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
[69.45] Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
[69.46] Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wamoyo!
[69.47] Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli wezakutuzuia.
[69.48] Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
[69.49] Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwambamiongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
[69.50] Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwawanao kataa.
[69.51] Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
[69.52] Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate/Support
Sign Guestbook
Link To Us
Newsletter
Recommend
What's New
Bookmark Us
-
Set as Home
-
Terms Of Use
Other Sites
:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
Copyright 2003-2009
Islamic Education & Services Institute