Skip to Content
The Muslims Internet Directory
Featured Service
Home
|
Advertise
|
FAQ
|
Login/Register |
Directory
Quran
Hadith
Islamic Library
Prayer Times
Discover Islam
Islamic Gallery
Calendar
New
Classifieds
Services
Webmasters
Dictionary
Downloads
Kids & Games
Quran Navigation
Search
Translations
Transliteration
Index
Chapter Info
English Search
Articles and Books
Audio
Memorization
Links
Downloads
On Your Site
FAQ
Muslims Internet Directory
The Quran / English
The Hadith
2Muslims.com
Our Network
Islamic Library & Articles
The Internet
Islamic Classifieds
WebRing Members Sites
Advance
-
Live Search
-
Quran
-
Hadith
-
Search This Site
-
The Network
-
Classifieds
-
WebRing
-
The Internet
-
Help!
Featured Site
Feature Your Site Now
2Muslims Services
Islamic IE Toolbar
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Forum
Donate
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls
Free E-mail Account
Zakat Calculator
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
Buy The Islamic CD
God's Attributes
How To Pray?
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran:
Quran Translations:
Swahili:
SURAT AR-RUM :
Search the Quran in any of the drop down menu languages:
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
More search options
SURAT AR-RUM
[30.1] Alif Lam Mim (A.L.M.)
[30.2] Warumi wameshindwa,
[30.3] Katika nchi iliyo karibu. Nao baada ya kushindwakwao watashinda
[30.4] Katika miaka michache. Amri ni ya Mwenyezi Mungukabla yake na baada yake. Na siku hiyo Wauminiwatafurahi.
[30.5] Kwa nusura ya Mwenyezi Mungu humnusuru amtakaye.Naye ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
[30.6] Ni ahadi ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu havunjiahadi yake. Lakini watu wengi hawajui.
[30.7] Wanajua hali ya dhaahiri ya maisha ya dunia, nawameghafilika na Akhera.
[30.8] Je! Hawajifikirii nafsi zao? Mwenyezi Munguhakuumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yake ila kwaHaki na kwa muda maalumu. Na hakika watu wengi bila ya shaka ni wenye kukataa kuwa watakutana na Mola waoMlezi.
[30.9] Je! Hawatembei katika ardhi wakaona ulivyo kuwamwisho wa walio kuwa kabla yao? Nao walikuwa na nguvuzaidi kuliko wao, na wakaitimbua ardhi na wakaistawisha zaidi kuliko walivyo istawisha wao. NaMitume wao wakawajia na dalili zilizo wazi. Basihakuwa Mwenyezi Mungu ni mwenye kuwadhulumu, lakini walikuwa wakijidhulumu nafsi zao.
[30.10] Kisha ulikuwa mwisho wa walio fanya ubaya nikuzikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawawanazifanyia maskhara.
[30.11] Mwenyezi Mungu huanzisha uumbaji, tena akaurudishamara ya pili, na kisha mtarejeshwa kwake.
[30.12] Na itapo simama Saa wakosefu watakata tamaa.
[30.13] Wala hawatakuwa na waombezi miongoni mwa waliokuwa wakiwashirikisha na Mungu; na wao wenyewewatawakataa hao washirikishwa wao.
[30.14] Na siku itapo simama Saa, siku hiyo watagawanyika.
[30.15] Ama walio amini na wakatenda mema watafurahishwakatika Bustani.
[30.16] Na ama walio kufuru na wakazikanusha Ishara zetuna mkutano wa Akhera, hao basi watahudhurishwa katikaadhabu.
[30.17] Basi Subhanallah! Mtakaseni Mwenyezi Mungu jionina asubuhi,
[30.18] Na sifa zote njema ni zake katika mbingu na ardhi,na alasiri na adhuhuri.
[30.19] Hukitoa kilicho hai kutokana na kilicho kufa, nahukitoa kilicho kufa kutokana na kilicho hai. Nahuihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Na kama hivyo ndivyo mtavyo fufuliwa.
[30.20] Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kwaudongo. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote.
[30.21] Na katika Ishara zake ni kuwa amekuumbieni wakezenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao.Naye amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri.
[30.22] Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi,na kutafautiana ndimi zenu na rangi zenu. Hakikakatika hayo zipo Ishara kwa wajuzi.
[30.23] Na katika Ishara zake ni kulala kwenu usiku namchana, na kutafuta kwenu fadhila zake. Hakika katikahaya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanao sikia.
[30.24] Na katika Ishara zake hukuonyesheni umeme kwakukutieni khofu na tamaa. Na hukuteremshieni majikutoka mbinguni, na kwa hayo huifufua ardhi baada yakufa kwake. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watuwanao zingatia.
[30.25] Na katika Ishara zake ni kuwa mbingu na ardhizimesimama kwa amri yake. Kisha atakapo kuiteni mwitommoja tu, hapo mtatoka kwenye ardhi.
[30.26] Na vyake Yeye vilivyo mbinguni na katika ardhi.Vyote vinamt'ii Yeye.
[30.27] Na Yeye ndiye anaye anzisha uumbaji, kishaataurudisha mara nyengine. Na jambo hili ni jepesizaidi kwake. Naye ndiye mwenye mfano bora katikambingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenyehikima.
[30.28] Amekupigieni mfano kutokana na nafsi zenu. Je!Katika hao iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia mnaowashirika katika hivyo tulivyo kuruzukuni, mkawa nyinyi katika hivyo ni sawasawa, mnawaogopa kamamnavyo ogopana wenyewe kwa wenyewe? Namna hivitunazipambanua Aya zetu kwa watu wenye akili.
[30.29] Bali walio dhulumu wamefuata mapendo ya nafsi zaopasina kujua. Basi nani atamwongoa ambaye MwenyeziMungu amemuacha apotee? Wala hao hawatakuwa na wa kuwanusuru.
[30.30] Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini -ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu.Hapana mabadiliko katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu.Hiyo ndiyo Dini iliyo nyooka sawa. Lakini watu wengihawajui.
[30.31] Muwe wenye kutubia kwake, na mcheni Yeye, nashikeni Sala, na wala msiwe katika washirikina.
[30.32] Katika wale ambao kwamba wameigawanya dini yao, nawakawa makundi makundi, kila kikundi kinafurahiakilicho nacho.
[30.33] Yakiwapata watu madhara humwomba Mola wao Mlezinao wametubu kwake. Kisha akiwaonjesha rehema itokayokwake, mara kikundi miongoni mwao humshirikisha Mola wao Mlezi,
[30.34] Kwa kuyakataa tuliyo wapa. Basi stareheni. Mtakujajua!
[30.35] Au tumewateremshia hoja ambayo kwayo ndiowanafanya ushirikina?
[30.36] Na watu tunapo waonjesha rehema huifurahia, naukiwasibu uovu kwa iliyo yatanguliza mikono yaowenyewe, mara wanakata tamaa.
[30.37] Kwani hawaoni kwamba Mwenyezi Mungu humkunjuliariziki amtakaye na humdhikisha amtakaye? Hakika katikahayo zipo Ishara kwa watu wanao amini.
[30.38] Basi mpe jamaa haki yake, na masikini, na msafiri.Hayo ni kheri kwa watakao radhi ya Mwenyezi Mungu. Nahao ndio wenye kufanikiwa.
[30.39] Na mnacho kitoa kwa riba ili kiongezeke katikamali ya watu, basi hakiongezeki mbele ya MwenyeziMungu. Lakini mnacho kitoa kwa Zaka kwa kutaka radhi ya Mwenyezi Mungu, basi hao ndio wataozidishiwa.
[30.40] Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni, kishaakakuruzukuni, kisha anakufisheni, na kishaanakufufueni. Je! Yupo yeyote katika hao mnao washirikisha na Mwenyezi Mungu afanyae lolote katikahayo? Yeye ametakasika, na ametukuka na hayo mnayomshirikisha naye.
[30.41] Ufisadi umedhihiri bara na baharini kwa iliyoyafanya mikono ya watu, ili Mwenyezi Mungu awaonyeshebaadhi ya waliyo yatenda. Huenda wakarejea kwa kutubu.
[30.42] Sema: Safirini duniani muangalie ulikuwaje mwishowa walio tangulia. Wengi wao walikuwa washirikina.
[30.43] Basi uelekeze uso wako kwenye Dini Iliyo Nyookakabla ya kufika Siku hiyo isiyo zuilika, inayo tokakwa Mwenyezi Mungu. Siku hiyo watu watatengana.
[30.44] Anaye kufuru basi ukafiri wake utakuwa juu yakemwenyewe, na anaye tenda mema, basi wanazitengezeanafsi zao.
[30.45] Ili awalipe walio amini na wakatenda mema kutokanana fadhila yake. Hakika Yeye hawapendi makafiri.
[30.46] Na katika Ishara zake ni kuzituma pepo ziletazobishara njema, na ili kukuonjesheni baadhi ya rehemazake, na ili majahazi yende kwa amri yake; na mtafute kutokana na fadhila yake, na ili mumshukuru.
[30.47] Na hakika tulikwisha watuma Mitume kwa kaumu zao,na wakawajia kwa hoja zilizo wazi. Tukawaadhibu walewalio fanya ukosefu. Na ilikuwa ni haki juu yetu kuwanusuru Waumini.
[30.48] Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma pepo zikayatimuamawingu, kisha akayatandaza mbinguni kama apendavyo.Na akayafanya mapande mapande, basi ukaiona mvuainatoka ndani yake. Anapo wafikishia awatakao katikawaja wake, mara hao huwa na furaha.
[30.49] Na ingawa kabla ya kuteremshiwa walikuwa wenyekukata tamaa.
[30.50] Basi ziangalie athari za rehema ya Mwenyezi Mungu,jinsi anavyo ihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Basihakika huyo ndiye bila ya shaka Mwenye kuhuisha wafu. Na Yeye ni Muweza wa kila kitu.
[30.51] Na tunge utuma upepo na wakauona umekuwa rangi yamanjano, juu ya hayo wange endelea kukufuru.
[30.52] Kwani wewe hakika huwafanyi maiti wakasikia, walaviziwi wakasikia wito wakisha geuka kukupa mgongo.
[30.53] Wala wewe huwaongoi vipofu na upotovu wao.Huwasikilizishi ila wanao ziamini Aya zetu. Hao ndioWaislamu, walio nyenyekea.
[30.54] Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni kutokana naudhaifu kisha akajaalia nguvu baada ya unyonge, kishaakajaalia baada ya nguvu unyonge tena na ukongwe. Anaumba atakavyo. Naye ndiye Mjuzi, Mwenye uweza.
[30.55] Na siku itapo simama Saa wakosefu wataapa kwambahawakukaa duniani ila saa moja tu. Hivyo ndivyowalivyo kuwa wakipotozwa.
[30.56] Na walio pewa ilimu na Imani watasema: Hakikanyinyi mlikwisha kaa katika hukumu ya Mwenyezi Mungumpaka Siku ya kufufuliwa. Basi hii ndiyo Siku ya kufufuliwa! Lakini nyinyi mlikuwa hamuijui.
[30.57] Basi Siku hiyo hautawafaa walio dhulumu udhuruwao, wala haitotakiwa toba yao.
[30.58] Na hakika tulikwisha wapigia watu kila mfanokatika hii Qur'ani. Na ukiwaletea Ishara yoyote hapanashaka walio kufuru watasema: Nyinyi si chochote ila ni waongo.
[30.59] Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo piga muhurikwenye nyoyo za wasio jua.
[30.60] Basi subiri. Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni yahaki. Wala wasikupaparishe hao wasio kuwa na yakini.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate
Bookmark Us
Support Us
GuestBook
Link To Us
Newsletter
Recommend
Set as Home
Terms Of Use
What's New
Other Sites:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
This Page Was Last Updated on
Copyright 2003-2008
Islamic Education & Services Institute