Skip to Content
The Muslims Internet Directory
Featured Service
Home
|
Advertise
|
FAQ
|
Login/Register |
Directory
Quran
Hadith
Islamic Library
Prayer Times
Discover Islam
Islamic Gallery
Calendar
New
Classifieds
Services
Webmasters
Dictionary
Downloads
Kids & Games
Quran Navigation
Search
Translations
Transliteration
Index
Chapter Info
English Search
Articles and Books
Audio
Memorization
Links
Downloads
On Your Site
FAQ
Muslims Internet Directory
The Quran / English
The Hadith
2Muslims.com
Our Network
Islamic Library & Articles
The Internet
Islamic Classifieds
WebRing Members Sites
Advance
-
Live Search
-
Quran
-
Hadith
-
Search This Site
-
The Network
-
Classifieds
-
WebRing
-
The Internet
-
Help!
Featured Site
Feature Your Site Now
2Muslims Services
Islamic IE Toolbar
Islamic Internet Gadgets
Prayer Times Software
Forum
Donate
Islamic Quizzes
Islamic CGI Scripts
Polls
Free E-mail Account
Zakat Calculator
Islamic Holidays Dates
Islamic Date Converter
DAWA Tools
FAQ About Islam
Buy The Islamic CD
God's Attributes
How To Pray?
Paid Services
Buy The Islamic CD
Banner Design
Submit Your Site
Muslims Million Pixels
Translate Site To:
Arabic
Bulgarian
Catalan
Chinese (Simplified)
Chinese (Traditional)
Croatian
Czech
Danish
Dutch
English
Filipino
Finnish
French
German
Greek
Hebrew
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latvian
Lithuanian
Norwegian
Polish
Portuguese
Romanian
Russian
Serbian
Slovak
Slovenian
Spanish
Swedish
Ukrainian
Vietnamese
Hijab
Why do muslim females wear Hijab (Head cover)?
Faith
Culture
Fear
Other
view results
view other polls
Home
:
Quran:
Quran Translations:
Swahili:
SURAT ASSAJDAH :
Search the Quran in any of the drop down menu languages:
--Select language--
Albanian
Arabic
Azerbaijani
Bengali
Bosnian
Brazilian
Burmese
Chinese
Dutch
English_Abdullah_Yusuufali
English_Hasan_Qaribullah
English_Muhammad_Pickthall
Farsi
Finish
French
German
Hausa
Hindi
Hindi
Indonesian
Italian
Japanese
Korean
Latin
Malaysian
Melayu
Meranao
Mexican
Pashto
Persian
Poland
Portuguese
Russian
Spanish
Swahili
Tamil
Thai
Transliteration
Turkish
Urdu
More search options
SURAT ASSAJDAH
[32.1] Alif Lam Mim (A.L.M.)
[32.2] Huu ni mteremsho wa Kitabu kisicho kuwa na shakayoyote kinacho toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
[32.3] Au wanasema: Amekizua? Bali hichi ni Kweli iliyotoka kwa Mola wako Mlezi ili uwaonye watu wasio fikiwana mwonyaji kabla yako; huenda wakaongoka.
[32.4] Mwenyezi Mungu ndiye aliye umba mbingu na ardhi naviliomo baina yao kwa siku sita, na akatawala kwenyeKiti cha Enzi. Nyinyi hamna mlinzi wala mwombezi isipokuwa Yeye tu. Basi, je, hamkumbuki?
[32.5] Anapitisha mambo yote yalio baina mbingu na ardhi,kisha yanapanda kwake kwa siku ambayo kipimo chake nimiaka elfu kwa mnavyo hisabu nyinyi.
[32.6] Huyu ndiye Mwenye kuyajua yasiyo onekana na yanayoonekana. Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
[32.7] Ambaye ametengeneza vizuri umbo la kila kitu; naakaanzisha kumuumba mtu kwa udongo.
[32.8] Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi chamaji madhaifu.
[32.9] Kisha akamtengeneza, na akampulizia roho yake, naakakujaalieni kusikia na kuona, na nyoyo za kufahamu.Ni uchache mnavyo shukuru.
[32.10] Nao husema: Tutapo kwisha potea chini ya ardhi, nikweli tutarudishwa katika umbo jipya? Bali waowanakanusha kwamba watakutana na Mola wao Mlezi.
[32.11] Sema: Atakufisheni Malaika wa mauti aliyewakilishwa juu yenu; kisha mtarejeshwa kwa Mola wenuMlezi.
[32.12] Na ungeli waona wakosefu wanvyo inamisha vichwavyao mbele ya Mola wao Mlezi, (wakisema): Mola wetuMlezi! Tumesha ona, na tumesha sikia. Turejeshe tukatende mema, kwani hakika sisi tumekwisha kuwa nayakini sasa.
[32.13] Na lau tungeli taka tunge mpa kila mtu uwongofuwake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyo toka kwangu :Kwa yakini nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa, majini na watu.
[32.14] Basi onjeni kwa vile mlivyo usahau mkutano wa Sikuyenu hii. Na Sisi hakika tunakusahauni. Basi onjeniadhabu ya milele kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
[32.15] Hakika wanao ziamini Aya zetu ni hao tu ambaowakikumbushwa hizo, basi wao huanguka kusujudu, nahumsabihi Mola wao Mlezi kwa kumhimidi, naohawajivuni.
[32.16] Mbavu zao zinaachana na vitanda kwa kumwomba Molawao Mlezi kwa khofu na kutumaini, na hutoa kutokana natulivyo waruzuku.
[32.17] Nafsi yoyote haijui waliyo fichiwa katika hayoyanayo furahisha macho - ni malipo ya yale waliyo kuwawakiyatenda.
[32.18] Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu?Hawawi sawa.
[32.19] Ama walio amini na wakatenda mema, watakuwa nazoBustani za makaazi mazuri. Ndio pa kufikia kwa waliyokuwa wakiyatenda.
[32.20] Na ama wale walio tenda uovu, basi makaazi yao niMotoni. Kila wakitaka kutoka humo watarudishwa humohumo. Na wataambiwa: Onjeni adhabu ya Moto ambayo mliyo kuwa mkiikanusha.
[32.21] Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabukubwa, huenda labda watarejea.
[32.22] Na ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anayekumbushwa kwa Ishara za Mola wake Mlezi, kishaakazikataa? Hakika Sisi tutajilipiza kwa wakosefu.
[32.23] Hakika Sisi tulikwisha mpa Musa Kitabu. Basi usiwena shaka kuwa kakipokea. Na tukakifanya kuwa niuwongofu kwa Wana wa Israili.
[32.24] Na tukawafanya miongoni mwao waongozi wanao ongoawatu kwa amri yetu, walipo subiri na wakawa na yakinina Ishara zetu.
[32.25] Hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye fafanua bainayao Siku ya Kiyama katika waliyo kuwawakikhitalifiana.
[32.26] Je! Haijawabainikia kwamba kaumu ngapituliziangamiza kabla yao, nao wanapita katika maskanizao hizo? Hakika katika hayo zipo Ishara. Basi, je, hawasikii?
[32.27] Je! Hawaoni ya kwamba tunayapeleka maji kwenyeardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa mimea wanayo kulawanyama wao na wao wenyewe? Je! Hawaoni?
[32.28] Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
[32.29] Sema: Siku ya Ushindi, wale walio kufuru imani yaohaitawafaa kitu, wala wao hawatapewa muhula.
[32.30] Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.
Featured Ad
About Us
Contact Us
Advertise
Donate
Bookmark Us
Support Us
GuestBook
Link To Us
Newsletter
Recommend
Set as Home
Terms Of Use
What's New
Other Sites:
Know The Prophet campaign
-
Discover Islam
-
Pharmacy Site
-
Links SQL Plugins
This Page Was Last Updated on
Copyright 2003-2008
Islamic Education & Services Institute